Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadithi
Aya Zinazohusiana
Ni hadith zinazorejelea aya za Quran kwa uwazi pekee ndizo zilizojumuishwa, na uteuzi huu si kamili. Simulizi zimepangwa ili zilingane na aya zilizochaguliwa kutoka Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim, zilizonukuliwa kupitia Sunnah.com. Je, una maoni yoyote? Tujulishe .
Regarding the Verse: 'And (We) made you into Shu'ub and Qabail-- (49.13) that Shu'uib means the
big Qabail (i.e. nations) while the Qabail (i.e. tribes) means the branch tribes.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel