Al-Infitar 82:11 كراما كاتبين ١١
كِرَامٗا
كَٰتِبِينَ
١١
Waandishi wenye hishima, 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
watukufu kwa Mwenyezi Mungu, waandishi wa yale waliyowakilishwa kuyadhibiti. Hakiwapiti, katika vitendo vyenu na siri zenu, chochote.