Al-Muddaththir 74:25 ان هاذا الا قول البشر ٢٥
إِنۡ
هَٰذَآ
إِلَّا
قَوۡلُ
ٱلۡبَشَرِ
٢٥
Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Haikuwa hi Qur’ani isipokuwa ni maneno ya viumbe ambayo Muhammad amejifunza kutoka kwao kisha akadai kuwa yanatoka kwa Mwenyezi Mungu.»