Al-Muddaththir 74:30 عليها تسعة عشر ٣٠
عَلَيۡهَا
تِسۡعَةَ
عَشَرَ
٣٠
Juu yake wapo kumi na tisa.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Wanasimamia mambo yake na kushikilia kazi ya kuwatesa watu wake Malaika kumi na tisa katika washika zamu wa Motoni wenye nguvu.