Al-Muddaththir 74:54 كلا انه تذكرة ٥٤
كـَلَّآ
إِنَّهُۥ
تَذۡكِرَةٞ
٥٤
Hasha! Kwa hakika huu ni ukumbusho!
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Ni kweli kwamba Qur’ani ni mawaidha yenye ufasaha, yanayotosha kuwafanya wao wawaidhike.