Al-Muumin 40:41 ۞ ويا قوم ما لي ادعوكم الى النجاة وتدعونني الى النار ٤١
۞ وَيَٰقَوۡمِ
مَا
لِيٓ
أَدۡعُوكُمۡ
إِلَى
ٱلنَّجَوٰةِ
وَتَدۡعُونَنِيٓ
إِلَى
ٱلنَّارِ
٤١
Na enyi watu wangu! Kwa nini mimi nakuiteni kwenye uwokofu, nanyi mnaniita kwenye Moto?
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
«Na enyi watu wangu! Vipi mimi ninawalingania kumuamini Mwenyezi Mungu na kumfuata Mtume Wake Mūsā, nao ni ulinganizi utakaowafanya nyinyi muishie Peponi na muwe mbali na vituko vya Moto, na nyinyi mnanilingania kufany matendo yenye kupelekea kwenye adhabu ya Mwenyezi Mungu na mateso Yake Motoni.?
«Na enyi watu wangu! Vipi mimi ninawalingania kumuamini Mwenyezi Mungu na kumfuata Mtume Wake Mūsā, nao ni ulinganizi utakaowafanya nyinyi muishie Pep…