Al-Muumin 40:54 هدى وذكرى لاولي الالباب ٥٤
هُدٗى
وَذِكۡرَىٰ
لِأُوْلِي
ٱلۡأَلۡبَٰبِ
٥٤
Ambacho ni Uwongofu na Ukumbusho kwa wenye akili.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
hali ya kuwa ni yenye kuongoza kwenye njia ya usawa na ni waadhi kwa wenye akili kamilifu.