Al-Muumin 40:73 ثم قيل لهم اين ما كنتم تشركون ٧٣
ثُمَّ
قِيلَ
لَهُمۡ
أَيۡنَ
مَا
كُنتُمۡ
تُشۡرِكُونَ
٧٣
Tena wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwashirikisha.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kisha waambiwe kwa kuwasimanga, na wao wako kwenye hali hii ya unguliko , «Wako wapi waungu mliokuwa mkiwaabudu.