Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Tafsir: Al-Muuminun 23:88

23:88
قل من بيده ملكوت كل شيء وهو يجير ولا يجار عليه ان كنتم تعلمون ٨٨
قُلْ مَنۢ بِيَدِهِۦ مَلَكُوتُ كُلِّ شَىْءٍۢ وَهُوَ يُجِيرُ وَلَا يُجَارُ عَلَيْهِ إِن كُنتُمْ تَعْلَمُونَ ٨٨
قُلۡ
مَنۢ
بِيَدِهِۦ
مَلَكُوتُ
كُلِّ
شَيۡءٖ
وَهُوَ
يُجِيرُ
وَلَا
يُجَارُ
عَلَيۡهِ
إِن
كُنتُمۡ
تَعۡلَمُونَ
٨٨
Sema: Ni nani mkononi mwake umo Ufalme wa kila kitu, naye ndiye anaye linda, wala hakilindwi asicho taka, kama mnajua? 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Sema, «Ni nani mmiliki wa kila kitu? Na ni nani Ambaye mkononi Mwake kuna hazina za kila kitu? Na ni nani Anayempa himaya mwenye kutaka himaya Yake, ambapo hakuna anayeweza kumhami na kumlinda yule ambaye Mwenyezi Mungu Anataka kumuangamiza wala hakuna anayekinga shari Aliyoikadiria Mwenyezi Mungu, iwapo mnalijua hilo?»