Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Tafsir: Al-Qalam 68:28

68:28
قال اوسطهم الم اقل لكم لولا تسبحون ٢٨
قَالَ أَوْسَطُهُمْ أَلَمْ أَقُل لَّكُمْ لَوْلَا تُسَبِّحُونَ ٢٨
قَالَ
أَوۡسَطُهُمۡ
أَلَمۡ
أَقُل
لَّكُمۡ
لَوۡلَا
تُسَبِّحُونَ
٢٨
Mbora wao akasema: Sikukwambieni, kwa nini hamumtakasi Mwenyezi Mungu? 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Akasema muadilifu zaidi miongoni mwao, «Kwani sikuwaambia myafunge maneno yenu na matakwa ya mwenyezi Mungu kwa kusema ‘Mwenyezi Mungu Akitaka’?»