Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Tafsir: Al-Qasas 28:19

28:19
فلما ان اراد ان يبطش بالذي هو عدو لهما قال يا موسى اتريد ان تقتلني كما قتلت نفسا بالامس ان تريد الا ان تكون جبارا في الارض وما تريد ان تكون من المصلحين ١٩
فَلَمَّآ أَنْ أَرَادَ أَن يَبْطِشَ بِٱلَّذِى هُوَ عَدُوٌّۭ لَّهُمَا قَالَ يَـٰمُوسَىٰٓ أَتُرِيدُ أَن تَقْتُلَنِى كَمَا قَتَلْتَ نَفْسًۢا بِٱلْأَمْسِ ۖ إِن تُرِيدُ إِلَّآ أَن تَكُونَ جَبَّارًۭا فِى ٱلْأَرْضِ وَمَا تُرِيدُ أَن تَكُونَ مِنَ ٱلْمُصْلِحِينَ ١٩
فَلَمَّآ
أَنۡ
أَرَادَ
أَن
يَبۡطِشَ
بِٱلَّذِي
هُوَ
عَدُوّٞ
لَّهُمَا
قَالَ
يَٰمُوسَىٰٓ
أَتُرِيدُ
أَن
تَقۡتُلَنِي
كَمَا
قَتَلۡتَ
نَفۡسَۢا
بِٱلۡأَمۡسِۖ
إِن
تُرِيدُ
إِلَّآ
أَن
تَكُونَ
جَبَّارٗا
فِي
ٱلۡأَرۡضِ
وَمَا
تُرِيدُ
أَن
تَكُونَ
مِنَ
ٱلۡمُصۡلِحِينَ
١٩
Basi alipo taka kumshika kwa nguvu yule aliye adui wao wote wawili, akasema: Ewe Musa! Unataka kuniuwa kama ulivyo muuwa mtu jana? Wewe hutaki ila kuwa jabari katika nchi, wala hutaki kuwa miongoni mwa wenye maslaha 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Basi alipotaka Mūsā kumshika Mmisri kupambana naye, alisema, «Je, unataka kuniua mimi kama ulivyomuua mtu jana? Hutaki isipokuwa kuwa jeuri katika nchi, na hutaki kuwa ni miongoni mwa wale wanaofanya upatanishi kati ya watu.»