Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Tafsir: An-Nisaa 4:109

4:109
ها انتم هاولاء جادلتم عنهم في الحياة الدنيا فمن يجادل الله عنهم يوم القيامة ام من يكون عليهم وكيلا ١٠٩
هَـٰٓأَنتُمْ هَـٰٓؤُلَآءِ جَـٰدَلْتُمْ عَنْهُمْ فِى ٱلْحَيَوٰةِ ٱلدُّنْيَا فَمَن يُجَـٰدِلُ ٱللَّهَ عَنْهُمْ يَوْمَ ٱلْقِيَـٰمَةِ أَم مَّن يَكُونُ عَلَيْهِمْ وَكِيلًۭا ١٠٩
هَٰٓأَنتُمۡ
هَٰٓؤُلَآءِ
جَٰدَلۡتُمۡ
عَنۡهُمۡ
فِي
ٱلۡحَيَوٰةِ
ٱلدُّنۡيَا
فَمَن
يُجَٰدِلُ
ٱللَّهَ
عَنۡهُمۡ
يَوۡمَ
ٱلۡقِيَٰمَةِ
أَم
مَّن
يَكُونُ
عَلَيۡهِمۡ
وَكِيلٗا
١٠٩
Hivyo nyinyi mmewatetea hawa katika uhai huu wa duniani. Basi nani atakaye watetea kwa Mwenyezi Mungu Siku ya Kiyama? Au ni nani atakuwa wakili wao wa kumtegemea?. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Haya nyinyi, enyi Waumini, mnatoa hoja za kuwatetea hawa mahaini wa nafsi zao katika huu uhai wa kilimwengu. Basi, ni nani mwenyemuhoji Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, kwa kuwatetea wao Siku ya kufufuliwa na kuhesabiwa? Au ni nani atakayekuwa wakili wao Siku ya Kiyama?