Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Tafsir: An-Nisaa 4:175

4:175
فاما الذين امنوا بالله واعتصموا به فسيدخلهم في رحمة منه وفضل ويهديهم اليه صراطا مستقيما ١٧٥
فَأَمَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ بِٱللَّهِ وَٱعْتَصَمُوا۟ بِهِۦ فَسَيُدْخِلُهُمْ فِى رَحْمَةٍۢ مِّنْهُ وَفَضْلٍۢ وَيَهْدِيهِمْ إِلَيْهِ صِرَٰطًۭا مُّسْتَقِيمًۭا ١٧٥
فَأَمَّا
ٱلَّذِينَ
ءَامَنُواْ
بِٱللَّهِ
وَٱعۡتَصَمُواْ
بِهِۦ
فَسَيُدۡخِلُهُمۡ
فِي
رَحۡمَةٖ
مِّنۡهُ
وَفَضۡلٖ
وَيَهۡدِيهِمۡ
إِلَيۡهِ
صِرَٰطٗا
مُّسۡتَقِيمٗا
١٧٥
Ama wale walio muamini Mwenyezi Mungu, na wakashikamana naye, basi atawatia katika rehema yake na fadhila, na atawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Ama wale waliomuamini Mwenyezi Mungu kiitikadi, kimaneno na kivitendo, na wakashikamana na Nuru ambayo waliteremshiwa, Atawaingiza Peponi ikiwa ni rehema na fadhila kutoka Kwake na Atawaafikia kufuata njia iliolingana sawa, itakayopelekea kwenye mabustani ya Peponi.