As-Saaffat 37:155 افلا تذكرون ١٥٥
أَفَلَا
تَذَكَّرُونَ
١٥٥
Hamkumbuki?. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Je, hamkumbuki kwamba haifai wala haitakikani Awe na mtoto? Ametukuka Mwenyezi Mungu na kuwa mbali na hilo, umbali ulio juu sana.