As-Saaffat 37:168 لو ان عندنا ذكرا من الاولين ١٦٨
لَوۡ
أَنَّ
عِندَنَا
ذِكۡرٗا
مِّنَ
ٱلۡأَوَّلِينَ
١٦٨
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
«Ewe Mtume! Lau vingalitujia vitabu na Manabii vile vilivyowajia wa mwanzo kabla yetu,