As-Saaffat 37:175 وابصرهم فسوف يبصرون ١٧٥
وَأَبۡصِرۡهُمۡ
فَسَوۡفَ
يُبۡصِرُونَ
١٧٥
Na watazame, nao wataona. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
wangojee na subiri uone: ni adhabu gani itakayowashukia wao kwa kuenda kinyume nawe? Basi wataiona adhabu ya Mwenyezi Mungu itakayowashukia.