Ash-Shuaraa 26:126 فاتقوا الله واطيعون ١٢٦
فَٱتَّقُواْ
ٱللَّهَ
وَأَطِيعُونِ
١٢٦
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Basi iogopeni adhabu ya Mwenyezi Mungu na mnitii mimi katika kile ninachowaitia nyinyi kutoka kwa Mwenyezi Mungu,