Ash-Shuaraa 26:66 ثم اغرقنا الاخرين ٦٦
ثُمَّ
أَغۡرَقۡنَا
ٱلۡأٓخَرِينَ
٦٦
Kisha tukawazamisha hao wengine. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kisha tukamzamisha Fir’awn na waliokuwa pamoja na yeye kwa kuifanya bahari iwafinike baada ya wao kuingia ndani wakimfuata Mūsā na watu wake.