Ash-Shuaraa 26:99 وما اضلنا الا المجرمون ٩٩
وَمَآ
أَضَلَّنَآ
إِلَّا
ٱلۡمُجۡرِمُونَ
٩٩
Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na hakuna kilichotutia kwenye mwisho huu mbaya isipokuwa ni wahalifu ambao walitulingania tumuabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu.