Az-Zilzal 99:6 يوميذ يصدر الناس اشتاتا ليروا اعمالهم ٦
يَوۡمَئِذٖ
يَصۡدُرُ
ٱلنَّاسُ
أَشۡتَاتٗا
لِّيُرَوۡاْ
أَعۡمَٰلَهُمۡ
٦
Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao! 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Siku hiyo wataondoka kutoka kwenye kisimamo cha Hesabu wakiwa makundi, ili Mwenyezi Mungu Awaoneshe waliyoyatenda, mazuri na mabaya, na Awalipe kwayo.