Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Maryam akabeba mimba ya mtoto wa kiume baada ya Jibrili kupuliza kwenye mwanya wa kanzu yake, na pulizo hilo likafika kwenye uzao wake, na kwa sababu hiyo mimba ikaingia, na akaenda nayo mahali mbali na watu.