Maryam 19:70 ثم لنحن اعلم بالذين هم اولى بها صليا ٧٠
ثُمَّ
لَنَحۡنُ
أَعۡلَمُ
بِٱلَّذِينَ
هُمۡ
أَوۡلَىٰ
بِهَا
صِلِيّٗا
٧٠
Tena hakika Sisi tunawajua vyema zaidi wanao stahiki kuunguzwa humo.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kisha sisi ni tunawajua zaidi wale wanaostahili kuingia Motoni na kuadhibika kwa joto lake.