Maryam 19:85 يوم نحشر المتقين الى الرحمان وفدا ٨٥
يَوۡمَ
نَحۡشُرُ
ٱلۡمُتَّقِينَ
إِلَى
ٱلرَّحۡمَٰنِ
وَفۡدٗا
٨٥
Siku tutayo wakusanya wachamngu kuwapeleka kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni wageni wake.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Siku ambayo tutawakusanya wachamungu kwa Mola wao Mwenye huruma na wao, wakiwa makundi ya watu wenye kukirimiwa,