Aali-Imran 3:115 وما يفعلوا من خير فلن يكفروه والله عليم بالمتقين ١١٥
وَمَا
يَفۡعَلُواْ
مِنۡ
خَيۡرٖ
فَلَن
يُكۡفَرُوهُۗ
وَٱللَّهُ
عَلِيمُۢ
بِٱلۡمُتَّقِينَ
١١٥
Na kheri yoyote wanayo ifanya hawatanyimwa malipwa yake. Na Mwenyezi Mungu anawajua wachamngu. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na kitendo chochote, kichache au kingi, kati ya vitendo vyema yatakayofanywa na kikundi hiki kilichoamini, hakitapotea mbele ya Mwenyezi Mungu. Bali watashukuriwa na watapewa malipo yake. Mwenyezi Mungu Anawajua zaidi wacha-Mungu ambao wametenda mema na wakajitenga na yaliyoharamishwa kwa kutaka rad…
Na kitendo chochote, kichache au kingi, kati ya vitendo vyema yatakayofanywa na kikundi hiki kilichoamini, hakitapotea mbele ya Mwenyezi Mungu. Bali w…