Adh-Dhuhaa 93:1 والضحى ١
وَٱلضُّحَىٰ
١
Naapa kwa mchana! 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Mwenyezi Mungu Anaapa kwa wakati wa dhuha, na uliokusudiwa ni wakati wa mchana mzima.
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis