Al-Aaraf 7:118 فوقع الحق وبطل ما كانوا يعملون ١١٨
فَوَقَعَ
ٱلۡحَقُّ
وَبَطَلَ
مَا
كَانُواْ
يَعۡمَلُونَ
١١٨
Kweli ikathibiti na yakabat'ilika waliyo kuwa wakiyatenda. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hapo haki ikajitokeza na ikafunuka kwa aliyehudhuria na kuiona kuhusu mambo ya Mūsā, amani imshukie, na kuwa yeye ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, analingania haki, na ukabatilika urongo waliokuwa wakiufanya.
Hapo haki ikajitokeza na ikafunuka kwa aliyehudhuria na kuiona kuhusu mambo ya Mūsā, amani imshukie, na kuwa yeye ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, analinga…