Al-Aaraf 7:177 ساء مثلا القوم الذين كذبوا باياتنا وانفسهم كانوا يظلمون ١٧٧
سَآءَ
مَثَلًا
ٱلۡقَوۡمُ
ٱلَّذِينَ
كَذَّبُواْ
بِـَٔايَٰتِنَا
وَأَنفُسَهُمۡ
كَانُواْ
يَظۡلِمُونَ
١٧٧
Huu ni mfano muovu kabisa wa watu wanao kanusha Ishara zetu na wakajidhulumu nafsi zao. . 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Ni mfano mbaya ulioje! Mfano wa watu waliokanusha hoja za Mwenyezi Mungu na dalili Zake wakazikataa na hali kwamba ni nafsi zao wenyewe walikuwa wakizidhulumu kwa sababu ya kukanusha kwao hoja hizi na dalili.
Ni mfano mbaya ulioje! Mfano wa watu waliokanusha hoja za Mwenyezi Mungu na dalili Zake wakazikataa na hali kwamba ni nafsi zao wenyewe walikuwa wakiz…