Al-Anbiyaa 21:96 حتى اذا فتحت ياجوج وماجوج وهم من كل حدب ينسلون ٩٦
حَتَّىٰٓ
إِذَا
فُتِحَتۡ
يَأۡجُوجُ
وَمَأۡجُوجُ
وَهُم
مِّن
كُلِّ
حَدَبٖ
يَنسِلُونَ
٩٦
Mpaka watapo funguliwa Juju na Maajuju wakawa wanateremka kutoka kila mlima; 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Basi pindi kitakapofunguliwa kizuizi cha Ya’jūj na Ma’jūj, na wakatoka kwenye ardhi za juu wakaenea kwenye pande zake kwa haraka,