Al-Bayyinah 98:3 فيها كتب قيمة ٣
فِيهَا
كُتُبٞ
قَيِّمَةٞ
٣
Ndani yake mna maandiko yaliyo nyooka. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Ndani ya kurasa hizo mna habari za kweli na amri za uadilifu zenye kuongoza kwenye haki na kwenye njia ilionyoka.