Al-Kahf 18:70 قال فان اتبعتني فلا تسالني عن شيء حتى احدث لك منه ذكرا ٧٠
قَالَ
فَإِنِ
ٱتَّبَعۡتَنِي
فَلَا
تَسۡـَٔلۡنِي
عَن
شَيۡءٍ
حَتَّىٰٓ
أُحۡدِثَ
لَكَ
مِنۡهُ
ذِكۡرٗا
٧٠
Akasema: Basi ukinifuata usiniulize kitu mpaka mimi nianze kukutajia. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Al-Khiḍr akakubali na akamwambia, «Ukifuatana na mimi usiniulize juu ya chochote usichokikubali mpaka nikupe maelezo yake yaliyofichika kwako bila ya wewe kuuliza.»
Al-Khiḍr akakubali na akamwambia, «Ukifuatana na mimi usiniulize juu ya chochote usichokikubali mpaka nikupe maelezo yake yaliyofichika kwako bila ya …