Al-Lahab 111:4 وامراته حمالة الحطب ٤
وَٱمۡرَأَتُهُۥ
حَمَّالَةَ
ٱلۡحَطَبِ
٤
Na mkewe, mchukuzi wa kuni, 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
yeye na mke wake ambaye alikuwa akibeba miba na kuiweka kwenye njia anayopita Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, ili kumuudhi.