Al-Ma'arij 70:6 انهم يرونه بعيدا ٦
إِنَّهُمۡ
يَرَوۡنَهُۥ
بَعِيدٗا
٦
Hakika wao wanaiona iko mbali! 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kwa kweli makafiri wanaiona adhabu kuwa iko mbali na wanaona kuwa si yenye kutukia.