Al-Maun 107:5 الذين هم عن صلاتهم ساهون ٥
ٱلَّذِينَ
هُمۡ
عَن
صَلَاتِهِمۡ
سَاهُونَ
٥
Ambao wanapuuza Sala zao; 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
ambao wameghafilika na Swala zao: hawazisimamishi kama ipasavyo wala hawazisali kwa nyakati zake.