Al-Muddaththir 74:18 انه فكر وقدر ١٨
إِنَّهُۥ
فَكَّرَ
وَقَدَّرَ
١٨
Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kwa kweli yeye aliwaza ndani ya nafsi yake akatayarisha la kusema kumtukana Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, na Qur’ani.