Al-Muddaththir 74:19 فقتل كيف قدر ١٩
فَقُتِلَ
كَيۡفَ
قَدَّرَ
١٩
Basi ameangamia! Vipi alivyo pima!
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hivyo basi akalaaniwa na akastahili, kwa hilo, maangamivu: alijiandaa vipi ndani ya nafsi yake kwa hayo matukano?