Al-Muddaththir 74:22 ثم عبس وبسر ٢٢
ثُمَّ
عَبَسَ
وَبَسَرَ
٢٢
Kisha akakunja kipaji, na akanuna.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kisha akafinya uso wake na akazidi katika hali ile ya ukunjaji uso kwa kukosa hila za kufanya na kutopata ila yoyote ya kuitia dosari Qur’ani.