Al-Muddaththir 74:24 فقال ان هاذا الا سحر يوثر ٢٤
فَقَالَ
إِنۡ
هَٰذَآ
إِلَّا
سِحۡرٞ
يُؤۡثَرُ
٢٤
Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
hapo akasema kuhusu Qur’ani, «Haya anayoyasema Muhammad si chochote isipokuwa ni uchawi uliopokewa kutoka kwa watu wa mwanzo waliopita.