Al-Muddaththir 74:32 كلا والقمر ٣٢
كـَلَّا
وَٱلۡقَمَرِ
٣٢
Hasha! Naapa kwa mwezi!
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Mambo sivyo kama walivyotaja ya ukanushaji Mtume katika yale aliyokuja nayo! Anaapa Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kila sifa ya upungufu, kwa mwezi,