Al-Muddaththir 74:39 الا اصحاب اليمين ٣٩
إِلَّآ
أَصۡحَٰبَ
ٱلۡيَمِينِ
٣٩
Isipo kuwa watu wa kuliani.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Isipokuwa Waislamu waliotakaswa, watu wa upande wa kulia waliojikomboa shingo zao kwa utiifu.