Al-Muddaththir 74:40 في جنات يتساءلون ٤٠
فِي
جَنَّٰتٖ
يَتَسَآءَلُونَ
٤٠
Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Wao watakuwa kwenye mabustani ya Peponi ambayo sifa zake hazifikiwi ukomo. Watakuwa wakiulizana wao kwa wao