Al-Muddaththir 74:44 ولم نك نطعم المسكين ٤٤
وَلَمۡ
نَكُ
نُطۡعِمُ
ٱلۡمِسۡكِينَ
٤٤
Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
na hatukuwa tukitoa sadaka na kuwafanyia wema wahitaji na maskini,