Al-Muddaththir 74:45 وكنا نخوض مع الخايضين ٤٥
وَكُنَّا
نَخُوضُ
مَعَ
ٱلۡخَآئِضِينَ
٤٥
Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
na tulikuwa tukizungumza maneno ya ubatilifu na watu wa upotofu na upotevu,