Al-Muddaththir 74:55 فمن شاء ذكره ٥٥
فَمَن
شَآءَ
ذَكَرَهُۥ
٥٥
Basi anaye taka atakumbuka.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Anayetaka kuwaidhika, basi na awaidhike kwa yaliyomo ndani yake na anufaike na uongofu wake.