And when they saw the faithful, they would say, “These ˹people˺ are truly astray,”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na hawa makafiri wanapowaona Maswahaba wa Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, wamefuata uongofu, huwa wakisema, «Hakika hawa wamepotea kwa kumfuata Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.