Al-Muuminun 23:85 سيقولون لله قل افلا تذكرون ٨٥
سَيَقُولُونَ
لِلَّهِۚ
قُلۡ
أَفَلَا
تَذَكَّرُونَ
٨٥
Watasema: Ni vya Mwenyezi Mungu! Sema: Basi, je, hamkumbuki? 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Watakubali kwa lazima kwamba ni ya Mwenyezi Mungu, Yeye Ndiye Muumba wake na Ndiye Mwenye kuimiliki. Waambie, «Je, haliwi hilo kwenu ni lenye kuwafanya mukumbuke kuwa Yeye ni Muweza wa kuwafufua wafu na kuwarudishia uhai?»
Watakubali kwa lazima kwamba ni ya Mwenyezi Mungu, Yeye Ndiye Muumba wake na Ndiye Mwenye kuimiliki. Waambie, «Je, haliwi hilo kwenu ni lenye kuwafany…