Al-Qadr 97:4 تنزل الملايكة والروح فيها باذن ربهم من كل امر ٤
تَنَزَّلُ
ٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ
وَٱلرُّوحُ
فِيهَا
بِإِذۡنِ
رَبِّهِم
مِّن
كُلِّ
أَمۡرٖ
٤
Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Usiku huo hushuka Malaika na Jibrili, amani iwashukie, kwa ruhusa ya Mola wao kwa kila jambo Alilolikadiria liwe mwaka huo.