Al-Qalam 68:17 انا بلوناهم كما بلونا اصحاب الجنة اذ اقسموا ليصرمنها مصبحين ١٧
إِنَّا
بَلَوۡنَٰهُمۡ
كَمَا
بَلَوۡنَآ
أَصۡحَٰبَ
ٱلۡجَنَّةِ
إِذۡ
أَقۡسَمُواْ
لَيَصۡرِمُنَّهَا
مُصۡبِحِينَ
١٧
Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Sisi tumewatahini watu wa Makkah kwa njaa na ukame kama tulivyowatahini wenye shamba walipoapa wakiwa pamoja kwamba watakwenda kuvuna matunda ya shamba lao asubuhi mapema, ili wasiokuwa wao, kati ya masikini na mfano wao, wasipate kula katika mavuno hayo.
Sisi tumewatahini watu wa Makkah kwa njaa na ukame kama tulivyowatahini wenye shamba walipoapa wakiwa pamoja kwamba watakwenda kuvuna matunda ya shamb…