Al-Waqiah 56:77 انه لقران كريم ٧٧
إِنَّهُۥ
لَقُرۡءَانٞ
كَرِيمٞ
٧٧
Hakika hii bila ya shaka ni Qur'ani Tukufu, 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hakika hii Qur’ani iliyoteremshiwa Muhammad ni Qur’ani yenye manufaa makubwa, yenye kheri nyingi na yenye elimu tele,