An-Nahl 16:109 لا جرم انهم في الاخرة هم الخاسرون ١٠٩
لَا
جَرَمَ
أَنَّهُمۡ
فِي
ٱلۡأٓخِرَةِ
هُمُ
ٱلۡخَٰسِرُونَ
١٠٩
Hapana shaka ya kwamba hao ndio wenye kukhasiri Akhera. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Ni kweli kabisa kwamba wao, huko Akhera, ndio wenye hasara wenye kuangamia, waliotumia maisha yao kwa mambo yaliyopelekea kuadhibiwa na kuangamizwa.