An-Nahl 16:54 ثم اذا كشف الضر عنكم اذا فريق منكم بربهم يشركون ٥٤
ثُمَّ
إِذَا
كَشَفَ
ٱلضُّرَّ
عَنكُمۡ
إِذَا
فَرِيقٞ
مِّنكُم
بِرَبِّهِمۡ
يُشۡرِكُونَ
٥٤
Na anapo kuondosheeni madhara mara kundi moja miongoni mwenu linamshirikisha Mola wao Mlezi, 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kisha Anapowaondolea matatizo na magonjwa, kitahamaki linatoka kundi la watu miongoni mwenu wakawa wanawafanya asiyekuwa Yeye kuwa ni washirika pamoja na Yeye na wategemewa.
Kisha Anapowaondolea matatizo na magonjwa, kitahamaki linatoka kundi la watu miongoni mwenu wakawa wanawafanya asiyekuwa Yeye kuwa ni washirika pamoja…